Duration 10:25

Wema Sepetu: Atoa Elimu Ya Brand Kwa Wasanii, Kesi zinafelisha

593 watched
0
7
Published 16 Apr 2019

Subscribes:/c/KidaniStars Bodi ya filamu Aprili 15, 2019 iliandaa kongamano litafanyika katika Ukumbi wa Suma JKT. Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu ametoa elimu kwa wasanii wenzake kujithamini na kujitambua huku malengo yakiwa kuwafikia waigizaji nchi nzima. Akizungumza katika kongamano hilo wema Sepetu ametoa faida za kujitangaza, kutengeneza kazi bora na wasanii kujua thamani yao. #WEMASEPETU Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars

Category

Show more

Comments - 0