Duration 10:5

PRE SEASON: TAZAMA MAZOEZI BINAFSI YA MAXI NZENGELI/ENGINE INAPASHWA MOTO HAPA.

75 594 watched
0
1.3 K
Published 1 Aug 2023

#daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Category

Show more

Comments - 123
  • @
    @EugeKay-vt4lv10 months ago Wakwanza Tena duh wanainchi naupiga mwingi naombeni mauwa yangu 😛 62
  • @
    @kilinakoshengelo294410 months ago Mazoezi ya hivi yame mu improve Sana ngushi na wenzake 26
  • @
    @balelelimbu297610 months ago Kijana anaipenda Sanaa kaziiii yakee, hope atakuwa vzuri sana akiwa na YANGA 26
  • @
    @misambo753910 months ago Hiiiiiii Yanga ya Motooooo sanaa 🔥 🔥 🔥 16
  • @
    @kilulumtunyungu936910 months ago Sahihi maana mwamba hakucheza league kwamiezi 7 lazima apate fitness👏👏👏👏💪💪💪💪💪 15
  • @
    @sanityonline451210 months ago Hii ni kutokana na kukosafitnes na hajacheza mechi za ushindani mda mrefu kutokana na machafuko ya congo so alihitaji program maalum Ili kujiweka sawa 6
  • @
    @AbdulatifSaidy10 months ago Unaweza kudhani anacheza vile kumbe ipo siku mtu atapigwa feint na ataachwa speed moja ya hatari kisa hilo zoezi subiri muone panapo majaaliwa 7
  • @
    @fatmasuleiman388510 months ago kazi hongera kijana unajitambua pambana utengeneze maisha yako💛💛💛🙏 10
  • @
    @kassimchuo529010 months ago Naitakia timu yang pendwa young Africans (YANGA)mafanikio mema na MUNGU awalinde kwa kila Shari nikiwa huku QATAR DOHA... 12
  • @
    @hossamsuleiman581310 months ago Kwa mara ya kwanza toka maxi atue bongo leo ndio kachomoa tshirt yake😎 8
  • @
    @amanididas766010 months ago ndomana wachezaji wanakomaa sana km mambo yenyewe ñdo haya mamae,,Dah mpira mgumuuuu 1
  • @
    @user-pr9wj7he1e10 months ago Aziz ki angepewa nae hii kitu awe strong 6
  • @
    @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff10 months ago Mazoezi haya magumu inakubidi mchezaji anaejielewa sawa hayana tofauti na mpiganaji ,,yanga bingwaa💚💛💪
  • @
    @driss495710 months ago Wanapikwa,Wakiiva,Wanadai waachwe wakatafute changamoto mpya,Inabidi tutafute dawa yke,Au waking'aa Azam anawatongoza katikati ya Msimu.. 1
  • @
    @pacomezouzoua917510 months ago Hapo wamuunganishe na mwamba wa wagadugu 1
  • @
    @edwinbiika26810 months ago Safi na mwisho wakae wakijua kuwa club inawatengeza kiviwango hivyo waitumikie kwa moyo pia 6
  • @
    @mackojohn196110 months ago Hiki anachokifanya max ndo wachezaji wengi wa kibongo wanakishindwa 4
  • @
    @finiaskalist74710 months ago Huyu kijana kama hasipo pata injury aloo ni mvp mpyaa kabisa 😅😅 7
  • @
    @oswaldliberatus20710 months ago 4
  • @
    @shedadiabdul65410 months ago Hii timu tamu kama za Ulaya Dadekiiiii.Daima mbele Nyuma Mwiko 🧡💚💛🔰💪🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅
  • @
    @azizasaid766010 months ago Weee hili tiz limemfanya zengeli asahau kuchomekea jezi leo 😂😂😂😂😂😂 2
  • @
    @mosesjacksonkarashani264210 months ago Mchezaji alitaka kuondoka akiambiwa afuate masharti ya mkataba yatatokea majitu yaanze kusema ananyanyaswa 😅 2
  • @
    @ManaseManase-in3bg10 months ago Nakuona mbali kama kaka Yako fistoni kalala mayele
  • @
    @PhilomenaSteven-tq2tx10 months ago Max tuna matumaini na wewe keep a good work
  • @
    @sosomacharles992010 months ago Huyu jamaa anajitambua,na atafanya vzr sana. 1
  • @
    @magrethyeremia227910 months ago Duuu safi kijana wetu ,pambana ufikie malengo yako
  • @
    @fatumaaybu864810 months ago Mambo ni moto japo namuonea huruma maskini sio kwa zoezi hilo😂 6
  • @
    @Derrick-hf4di10 months ago Jamaa atapata jina & atakua staa 🔥 3
  • @
    @JerinaNguto-vv1gt10 months ago Sisi,zetu,Dua,Kwa,mshezaji,wetu,amina😅
  • @
    @twalibmassea659310 months ago Sema camera man siku hz anapiga video mbovu
  • @
    @josepeter803310 months ago Hii nzur kumrudishia fitness miez kadhaaa hajacheza
  • @
    @nicolebitendelo142010 months ago Duhhhhh kwa staili hiii litakufa jitu😂😂😂😂😂😂
  • @
    @SabinusiMapunda9 months ago Daima tuna songa mbele
  • @
    @RubenIbrahim-st6dh10 months ago Yanga sasa sifa kwn mnataka acheze yeye na kipa tu litakufaaaaaa jutu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  • @
    @fatmasuleiman388510 months ago Safiri hii watu watakimbia mpira kwapani😂 3
  • @
    @yohanekopilato-wn3lo10 months ago Alafu anatokea panya road anasema tunanua mechi😂😂😂😂 1
  • @
    @timcee267010 months ago hao wanaochungulia waende kufanya shughuli zao, wachezaji wengine hawapendi kutazamwa mazoezi hasa haya binafsi
  • @
    @salumuamiri624710 months ago Msiwe mnawek clip ndefu Sana, edit vizur tupate clip fup wengine kuangalia clip ndefu hawawez 3
  • @
    @naimasbuguza239510 months ago Max mwepes Sana, Ila haya mazoez yangemfaa na aziz