Duration 4:21

AJALI NYINGINE YAUA WATANO JIJINI MBEYA

33 859 watched
0
122
Published 6 Jul 2018

Siku tano tu baada ya ajali mbaya kusababisha vifo vya watu 20 eneo la Mbalizi nje kidogo ya Jiji la Mbeya ajali nyingine inayofanana na hiyo imesababisha vifo vya watu watano baada ya Lori kufeli breki na kuparamia magari matatu na kulalia Noah na kusababisha vifo vya watu watano

Category

Show more

Comments - 55