@musesfakenya94663 years agoAma kweli duniani huwezi ukapendwa na watu wote hata kama utawafanyia jambo zuri kiasi gani, yani nimeshangazwa sana na watu walio dislike video yenye. ...Expand7
@
@joshuadennis80184 years agoThis is a really good job. keep up the good work.
@
@franksaga34132 years agoAsee usiache kupost hapa youtube, una impact vijana wengi bila we kujuwa kwa hii elimu unayotoa. Mungu akubariki.
@
@matildakessi8542 years agoNimevipenda sana vyombosana kwa ubunifu. Mi nataka vilivyo keisha tengenezwa.
@
@methusalempalukumivimba584 years agoAhsante sana kwa mafunzo n' a fuata sana vido zenu kutoka drc kinshasa. 1
@
@d.a.t33834 years agoVery good ideas hongera sana i am sharing all your videos.
@
@salummhina48573 years agoSafi sana umesaidia sisi wa kipato cha chini. Nami naanza kupiga kuku.
@
@methusalempalukumivimba584 years agoNavutiwa sana n' a vile shugulika n' a kuhumia wakulima mimi ni moja wao. 1
@
@stevenjuliuschambua74874 years agoThat is great indeed and cost less. I like it. 3
@
@zuheorsalim77593 years agoNashkuru nimejifunza sana kupitia chanel hii.
@
@johnkamau64594 years agoNimefurahia sana kutoka nairobi kenya pongezi nyingi sana. 2
@
@saidinkwande64064 years agoNdugu zangu mpo sehem gani na naomben namb ya wasapu.
@
@gustavesadi2214 years agoSalam. Sasa mtchango unafanyika vipi kwa wanao patikana inchi zingine?
@
@romanambelle63564 years agoElimu nzuri isiyo na gharama. Ubarikiwe.
@
@nzeyimanasadiki65314 years agoIzi feeders zinatumika kwa vifaranga wa wiki ngapi please naomba jibu.
@
@salhiyaame77004 years agoIlo unaweza kutumia kwa aina yyte ya kuku au?
@
@ramadhaniiddi15864 years agoNimejifunza mengi kwa video zenu asanten sana. 2
@
@ramamazanindegebedua72144 years agoKweli hii na ile ya maji, zimenifaa saana, hongera assante sana kwa mara nyingine kiongozi, kwenye siku za nyuma niliona ukiwawekea kwenye mfuniko wa diaba,. ...Expand2
@gregorytraves68664 years agoAsante xan kwa elimu unonipa umenishawishi mpaka na mimi nafuga saivi kuku8. 2
@
@nzogelamussa57424 years agoAssnte sana ndugu nimejua kifaa cha maji na chakula. 1
@
@samwelimbise4 years agoHuo ni mfuniko wa aina gan. Au ni mfuniko wa nn.
@
@saumuwazir64284 years agoNimependa sana hiki kifaa kwani napoteza chakula sana kwenye vyombo vya dukani. 2
@
@lydiankirote72564 years agoHi am lydia am in kenya kilifi county/mombasa naomba begu ya azolla nitapata vipi? 1
@
@mudriqtv81204 years agoMimi natamani kufuga broo ila sijui pakuwauza. 1
@
@christophekabilamusenge10244 years agoSamani rafiki aina y' a kuku zurie ni ainagani. 1
@
@ufugajiwetu39504 years agoJe kwa kuku wa kubwa maan watapiga teke na kumwaga chakula? 1
@
@geofreymbwile19574 years agoSasa hapo kuku hawataumia shingo kutokana na ncha kali? 1
@
@deotienndizeye76334 years agoMimi naishi burundi bujumbura nayitaji sana munisaidie jisi yakupata chanjo ya marek kwamaana huku anma whatsap yangu ni (+257)75943014 naitwa do. 1
@
@musesfakenya94663 years agoAma kweli duniani huwezi ukapendwa na watu wote hata kama utawafanyia jambo zuri kiasi gani, yani nimeshangazwa sana na watu walio dislike video yenye. ...Expand7
@
@ramamazanindegebedua72144 years agoKweli hii na ile ya maji, zimenifaa saana, hongera assante sana kwa mara nyingine kiongozi, kwenye siku za nyuma niliona ukiwawekea kwenye mfuniko wa diaba,. ...Expand2
Related videos for KIFAA CHA CHAKULA CHA KUKU - ZERO COST CHICKEN FEEDER | HOMEMADE CHICKEN FEEDER:
keep up the good work.
asanten sana. 2