Duration 1600

MCH.DANIEL MGOGO -MSICHANA UNAWAPANGA WANAUME,UNAWACHUNA/HUO NI UMALAYA

1 092 740 watched
0
5.1 K
Published 11 Feb 2021

#Uhaimedia CONTACT UHAI MEDIA +255 752 348 789 E-mail- radiouhaioffice@gmail.com MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU /watch/dVCAn7Nb0JPKn6Zim0P7P24uJUs7WP4GLP=tsil&03Cts_SfCkBfA HABARI /watch/_krLF79tLbFvKjbrjTMKB34uJUs7WP4GLP=tsil&kgeOZKITFPRTL FIKIRI TOFAUTI /watch/ln9Yc62NCFnle1yS4fl7n24uJUs7WP4GLP=tsil&IvAFsUgwic_wY MAKALA FIKRA TUNDUIZI /watch/uFAB6eT59Y7WCU3d5c89i04uJUs7WP4GLP=tsil&4DmLVoehyy8hB SHUHUDA /watch/AvO5mpUiMCZ0mGqRrBxKx24uJUs7WP4GLP=tsil&4HHGk6HD76pD5 FAHAMU ZAIDI YA JANA /watch/XN6siq7uD_3KlLZEOsRn004uJUs7WP4GLP=tsil&4utr3Wbky_6ks SIMULIZI ZA VITABU /watch/U94JDxymeNcfeANjA4cmz34uJUs7WP4GLP=tsil&A6EJ_ujFpG5FJ BIBLIA YANGU /watch/jd6cEdJ_X6B5TilkM8WS-34uJUs7WP4GLP=tsil&QmEB-2jl0ljlc NYIMBO ZA INJILI /watch/9Gxc9FG2qpyCYx_XeB_7934uJUs7WP4GLP=tsil&4sgiLrolEIplc #danielmgogo, #pastormgogo,#Mahubiriyadanielmgogo#MchungajiMgogo#DenisMpagaze#AnaniasEdgar#MzeewaKujilipua#Mahubiri#NenolaMungu

Category

Show more

Comments - 465
  • @
    @dixonkasujja202 years ago With this teachings l can' t hesitate to say " you are the real mirror of the society. You need a big support. 4
  • @
    @kasangamukokoma56623 years ago Baba muchungaji nashukuru sana kwa mahubiri zote unazotoa mungu akujaliye siku nyingi duniani. 8
  • @
    @goodluckmutapa79193 years ago Neno la mahana sanaapo ila usaidie taifa la mungu lisipoteye, 2
  • @
    @charotelimo50263 years ago Nawashauri uhai media. Hiyo picha ya huyo dada mliyoweka display kabla ya video sidhani kama ni idhini yake iwekwe hapo na ikiwa na kichwa cha habari kama hicho. Jaribu kuwa makini na image za watu. 5
  • @
    @PatrickJerome3 years ago Hongera kasisi daniel kwa mahubiri yako ya kweli kabisa na wosia ya kuishi kwa maadili mema kwenye jamii. Uzidi kubarikiwa pakubwa! 7
  • @
    @andulilemwakihabha20483 years ago Mchungaji mungu akubariki unahubili ukweli nakukubali sana. 6
  • @
    @victorcheruiyot24953 years ago My all time pastor. Very clear message. 2
  • @
    @aminahali11063 years ago Yaani kama kuna muhubiri mwenyewe kusema kweli, basi ni wewe. From 254 country 001. 8
  • @
    @Mugaa7953 years ago I like this man of god, he preaches the real life situations. 14
  • @
    @saidhamis89543 years ago Mungu akubariki sana mchungaji tunabarikiwa sana. 6
  • @
    @juliusogonji92632 years ago The fall of the church is evident on the celebration of the congrigation. This is not rebuke that leads to joy. It should bring repentance. 1
  • @
    @chalesmazengo48013 years ago Imenigusa sana hii kwa sisi tunaoingia kanisani cha ajabu tunaleta vituko ' ubarikiwe mtumishi. 5
  • @
    @felimoadam36533 years ago Nakubali mchungji mgogoo neno la mungu niupanga ukatae kuwili sema baba sema. 3
  • @
    @roseirangatwa2 years ago Amen, mchungaji karibu kenya uhuburi unafundisha ukweli. 1
  • @
    @godfreymajura53362 years ago Ninafikiri wapenda mafuta yaani miujizi kuliko mwenye miujizi na manabii wao waache mara moja zaidi kuna hasira ya bwana juu yao. 1
  • @
    @respisiusrevocatus50242 years ago Mungu akupepe uzima na azidi kukusimamia daima na ukalipwe mema mbinguni. 1
  • @
    @barakarajabu97512 years ago Mwenyez mung akubaliki xan baba mchungaji.
  • @
    @coolruler68203 years ago Ubarikiwe mtumishi, sema utuponye. Mungu alitupa hao kama wasaidizi ila wameisahau kazi mungu aliyowapa wamegeuka kuwa vibaka hadi wasaidizi wao ni kiguu na njia, madai yao 50 kwa 50. Wamesahau maneno waliyopewa pale walipotolewa ubavuni mwetu na kuwekwa humu duniani, ajabu walielezwa kila kusudi na mungu kuwafanya kuwa wasaidizi wetu ila leo wamesahau hilo na kuishia kudanga wakidai wanaume hawaeleweki. Mungu awahurumie kwawakidai wanaume hawaeleweki halafu wanajidangisha kwa wanaume hao, vivuruge kweli. Anaachana na mwanamume wake anadanga na mwanamume waakili asee, hao wala si mapepo ni majini mtumishi. ...Expand 5
  • @
    @amanisaid9863last year Mimi ni muislam ila ww ni kipajinapenda maahubiri yko sana.
  • @
    @jorammingingo28272 years ago Shukrani mutumishi wa mungu kwa mahubire. Nasi pia tunabarikiwa na mahubiri yako hapa drc goma. Ubarikiwe mchungaji.
  • @
    @alexjackson66083 years ago Mhhh kwel bado kanisa linahitaji nguvu ya kiroho. 3
  • @
    @phelisterschelimolast year Mungu asimame nasi hakika napenda sana mambo ya huyu pastor mugogo.
  • @
    @ulaweboy34793 years ago Wapee ndo zao japo mm islam nice pastor unafunza jamii. 1
  • @
    @dorcaskahindo86322 years ago Ubarikiwe baba sana mungu akupe mwisho mzuri.
  • @
    @josephmesache75792 years ago Kweli unakipawa cha kuhubiri mungu akubariki. 1
  • @
    @adamgadieli88393 years ago Kweli wambiee kwenye kwaya kuna kunguru na ng' ombe umo wana kwaya wanachezeana wao kwa wao. 5
  • @
    @januaryfinias95693 years ago Mchungaji nabarikiwa sana na mahubiri yako mungu akupe maisha marefu sana. 1
  • @
    @RamaRama-ul9nc3 years ago Mtumishi wa mungu upo vzr ktk kuielimisha jamii. 1
  • @
    @paschalchristopher83492 years ago Balikiwa sana baba kwa mahubili mazuri sana.
  • @
    @benyngeniuko40673 years ago Napenda sk kuja kusali kanisan pako nakupenda sna.
  • @
    @johnchokera24943 years ago Kweli mwewe ndio wengi, mungu tukumbuke. 1
  • @
    @richardsoit52213 years ago Power word. May god bless you s
    pst mgogo nimepata funzo hayo yote unayosema ni ukweli na yanatendeka.
  • @
    @brokermangimwanzatanzania88362 years ago Ameni ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa ujumbe mzuri.
  • @
    @jameskivaya53973 years ago Tuned from kenya. Mahubiri yako sasa kabisa. 1
  • @
    @barakashija87703 years ago Mungu akubaliki mchungaji hakika ww n noma.
  • @
    @zainakuzenza7593 years ago Nakupenda mchungaji kwa kutupa dongo kizani napenda sana mahubiri yako barikiwa endelea kupiga nondo tutaelewa tu. 15
  • @
    @piusmichael84933 years ago Umegonga ndipo pasta, mungu akutie nguvu.
  • @
    @simonkishosha48713 years ago Mafundisho haya yanagusa sana watu wenye tabia hizo alizo zungumza mch, daniel yani yuko sahihi kabisa ambavyo anasema vijana kwa wasichana kutembea ktk jumba lenye vyumba vingi paspo kumuona mwenzie. 2
  • @
    @nabilmwalim66803 years ago Padric encrease you effort one day you will get you jurney. So is very nice.
  • @
    @margretchipkwemoi82973 years ago Pasta mungu akubariki kwahayo unasema nikeli.
  • @
    @oliviakhevali70383 years ago Pstr una upako wa yesu christo. Mungu azidi kukutumia uokoe roho za watu! 6
  • @
    @samuelmutua7552 years ago Bwana asifiwe kwa haya mahubiri bwana na azidi kupaka mafuta.
  • @
    @grysonterry49443 years ago Du mchungaji umesema ukweli sana mungu akupe maisha. Marefuu. 1
  • @
    @shabanikamsawa1813 years ago Watakula nn jamani kula yao ipo hapo kati waache mchungaji maisha yao yana tegemea vibubu vyao. 3
  • @
    @mamarohosafi20463 years ago Yani haya ndio maelezo ya njia safi yamungu. 1
  • @
    @mosesjonathan88503 years ago Uko vzr baba piga vita za kiroho mbele kwa mbele, najua hata wachungaji wenzio hawawezi kukupenda sababu wengi wao ni wazinzi, piga injili baba.
  • @
    @allenjoelmassawe68103 years ago Kwelii wew mzee kiboko mungu akubariki.
  • @
    @briansancedo93363 years ago Ameni ubarikiwe mtumishi, hii ni sindano ya kutibu visichana vipepo, vipone kwa jina la yesu, tena kweli hata hapo wapo wengi wanafanya mazoea kanisani haohao ndio wazizi wa kutupwa, mungu atusaidie sana. 3
  • @
    @mwametallic76683 years ago Poleni kumpoteza rais wenu pombe maghufuli daktari.