Duration 2:43

Watu wawili waokolewa baada ya gari kuanguka baharini

37 846 watched
0
206
Published 10 Jan 2021

Kizaazaa kilishuhudiwa katika kivukio cha feri eneo la Likoni kaunti ya Mombasa, baada ya dereva na kondakta wake kunusurika kifo baada ya gari walimokuwa kuingia kwenye bahari hindi. Gari hilo la kusafirisha watalii lilikuwa likitoka maeneo ya pwani kusini kuelekea kisiwani lilipoingia baharini. Na kama Francis Mtalaki anavyoarifu, visa vya aina hii vimeendelea kushuhudiwa katika kivukio cha Feri

Category

Show more

Comments - 34