Hii Ndio Ndege Mpya Iliyopokelewa Na Rais Magufuli Ya 1 Afrika
Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 23, amepokea Ndege ya kwanza kati ndege mbili aina ya Air-Bus A220 zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania.
Ndege hiyo imewasiri leo majira ya saa 10:30 jioni na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Inasemekana kua Ndege hii kwa Afrika nzima Tanzania ndiyo nchi pekee iliyoweza kuinunua mpaka sasa!
#RAISMAGUFULI
Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
@davidcurtis85566 years agoDah! Nilikuwa naisubiria sana hii ndege jamani ninafuraha mpaka najisikia kulia dah! Asante muheshimiwa magufuli mungu akupe umri akulinde na husda lakini. ...Expand27
@
@beatricerobert31676 years agoAm more than happy for tanzania but i could not be happy of tanzania without jpm. May god bless you always. I love you my president. 7
@
@abelsabibi61926 years agoJpm is the pride of our nation! Ni wakati mwafaka kwa watanzania kumuombea sana rais wetu kwani anapambana kurejesha heshima ya taifa letu na kama itawezekana. ...Expand11
@
@franksiame17906 years agoMimi na raisi wangu jpm tumejipanga tanzania kama sauth africa. Kama nawewe uko tayali basi like. Hapa. 59
@
@fidelslick20866 years agoWonderful good work mr president and congrats to all tanzanians. 1
@
@songashaban13326 years agoMm na raisi magufuri tumeleta ndege nyingine mtupongeze kwa like nyingii. 11
@
@sk-wj9or6 years agoSalute to you bulldozer. may god give you a long life. i m overseas but i break down with tears. Happy in my heart. Stand tall again proud of our motherland once again. 1
@
@jimmymusti1656 years agoMjomba magu we ni kichwa kingine kwakweli, mungu akulinde miaka buku ili wananchi na nchi yetu izidi kupiga hatua. 10
@
@dani721306 years agoAhsante rais na hongera sana, mi nilikuwa nahisi aibu kwa nchi kama tanzania haina ndege, tumpongeze rais kwa juhudi na kuliona hili, si wote watakao muelewa.. ...Expand10
@
@chiefmahucha68476 years agoNamsubir kabwe zuber zitto, atuelezee jinsi anavoijua hiyo ndege, na kwamba si ajabu akatwambia kuwa imenunuliwa bei ghali san na huwenda akadai kuwa taratibu. ...Expand12
@
@nsajigwamwakibinga21866 years agoMungu mbariki na umpe maisha marefu kwa kutuinua na kuwa mzalendo wa kweli pamoja sana jembe magu. 2
@
@joshuaabel33866 years agoMungu ibariki tanzania bariki kiongozi wetu mwaminifu kwa wananchi wake rais john pombe magufuri kwa kazi nzuri anazozidi kuzileta katika nchi yake na. ...Expand14
@
@gloriamichael79356 years agoMh rais jpm nakuomba sana baba km c ndege mbili tu tuwafikie wale pale ili tuwapite oo jpm may our lord bring breakthrough upon you and for our country amen. 16
@
@aishaaisha40666 years agoMy good baba ye2 magufur mungu akuongoze. 8
@
@mwanajumaomahundumla65046 years agoNajisikia raha mpaka nashindwa kuielezea asante mungu kwa kutupa mtu kama magufuli. 12
@
@husseinnkenja81496 years agoHongera mh. Rais hongera tanzania. Tuendelee kulipa kodi kwa maendeleo ya tanzania. 9
@
@rahmajumanne84386 years agoDa amakwer mungu nimkubwa tz nac tunamiriki ndege zetu. 12
@
@suleimansalim78456 years agoSafi sana rais wangu dr john pombe magufuli you are the best no one like you mungu akuzidishiye miaka mingi yaku ishi ili uzidi kuwapa raha wa tanzania. 5
@
@shabanjokoro17196 years agoSimbaa raha! Airbus rahaa mungu ibariki tanzania. 9
@
@fatihiayohana67706 years agoYani hii nnchi mambo haya ilibidi wayafanye akina mkapa la wajanja walikuwa wanakula tuu magu ilibidi aje kuipaka rangi tu tanzania amepewa mzigo mkubwa sana. 16
@
@valentinamussa42126 years agoMajembe kama wewe tunahitaji sana ccm damu, hongera mheshimiwa. 15
@
@mariacharles74696 years agoWanzania tuunge mkono wazalendo wenzetu siasa tuwaachie wana siasa maana mtu humponda mwanzake kisa hawako chama kimoja na akihamia kwako huyohuyo husimama. ...Expand9
@
@annetmsafiri67046 years agoMungu akubariki sana rais wetu kwa matunda haya tunayoyaona mungu akufunike kwa damu ya yesu kristu. 2
@
@eliasraphael62296 years agoHongera sana rais wangu mungu akulinde. 12
@
@fabiankyando11896 years agoAsante sana mh rais jpm mungu akupe maisha marefu kwani tunaimani tanzania mpya inakuja. 6
@
@shauriernest79346 years agoHata enzi za kudai uhuru wapo waliosema wakoloni ni bora kuliko uhuru wao bado wapo kazi ni moja tu umoja wetu uzalendo knz washindwe walengee mungu akupe maisha marefu mpendwa wetu jpm. 2
@
@mohdyussah8256 years agoFrom uae i preciate my president john p magufuli oyee. 5
@
@chiefmahucha68476 years agoWote tunaomsubir zitto na wenzie waje kumwaga pumba togonge like hapa. 11
@
@ernestsinje95326 years agoNasikia furaha i love tanzania the gift of my christimas. 3
@
@braysonchalamila16556 years agoUlichelewa wapi kuja kulikomboa taifa hili mh rais magufuli? 9
@
@dicksonmugezi70586 years agoMzee wetu wewe unaangalia mbali si utalii tu ila hata watanzania watajivunia vya kwao wewe ni president. 12
@
@salmaothman1536 years agoAhsante mungu na rais wetu john pombe magufuli. 7
@
@faithamour21546 years agoHongera sana rais wetu jpm m, mungu hakupe uongozi miaka 100 safi sana nchi yetu iko juu tanzania kwa ajili yako rais wetu tunakupenda sanaa. 1
@
@pasonlucas94816 years agoHongera sana rais wetu mungu azidi kukutia nguvu nawe uzidi kufanya makubwa zaidi nakupenda sana. 2
@
@gloriamichael79356 years agoHata nikipanda ndege za wale natembea kifua mbele c na cc tuna ndege zetu. Mambo hayoo tanzania nakupenda sana. 15
@
@lubimbijoseph24066 years agoWapinzan ndan ya ccm na nje najua roho zenu zinawaka but ndo ivu mungu katenda. 6
@
@winndelule23026 years agoBaba mim nasemaje cjawah kupiga kura but 2020 kura yang unayo. 3
@
@amashakigelulye76326 years agoKwa pamoja tulips kofi kwa maendeleo ya nchi. 5
@
@anuaryally61776 years agoNdege ndio iyoo sasa wale vyama vya mashoga wako wapi. 12
@
@celeone26556 years agoApa ndo napoamini kuwa " action taker is a game changer" ur leader n not auwez ridhisha wote well done my dear president jpm. 2
@
@badenbensoni75166 years agoTumuongeze muda wa kutuongoza. Maamuzi ni yetu. Anayebisha tupige kura. 27
@
@muddyjuma72856 years agoNashindwa kujizuia allah akulinde na kila lenye shari. 3
@
@wahidawahida66756 years agoYani ww rais inatakiwa uongozee tanzania miaka yote ya maisha yko ww nibora. 9
@
@gloriamichael79356 years agoMnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni hakuna haja ya kufafanua nimeeleweka. 27
@
@t.e.l.cchurchkawekamob81036 years agoOngera jpm, lakini wapumbavu na wajiga wata kukashifu. 4
@
@araphabakari33986 years agoAsante mungu kwa kumuona raisi huyu maana wengi watataka wamuonelakini haitawezekana piga kazi mr presii tuko nyuma yako. 1
@
@mwanajumaomahundumla65046 years agoHa wale wanaotangazaga kilimanjaro ya kwao sasa wataisoma kwenye ndege ya tanzania. 18
@
@beatricerobert31676 years agoRais wangu sina usemi juu yako ila mungu akubariki you make tanzania. 5
@
@m.mmarckus62986 years agoTanzania mpya. Sasa tusubiri kuleee watatwambiaje kuhusu hii ndege. 16
@
@zakariamufuruki17256 years agoBig up jpm (hatuna shaka na jpm ) hapa kazii tu!
@
@DrFatmaKhanPanAfrikan6 years agoMagufuli oyee. Tunakupenda sana mpendwa rais wetu. 2
@
@kallahassan48966 years agoKwahuyu jpm watanzania tumuongezee mda wa miaka mitano iwe kuminatano jamani. 3
@
@aishaaaa69876 years agoMashaa allah m, mungu akuwezeshe uzidi kufanyaje vyema mh. Magufuli.
@
@elizabethmwandu69376 years agoHongera mh rais kwa kazi nzuri unayotufanyia watanzania.
@
@sigfridshayo47156 years agoChatting fromsanaunatupatia tunachopaswaya ukweli ninayoamini mimi ni kuwaletea wananchi maendeleo, ila sio inayohubiriwa na mabeberu na vibaraka wao. Piga kazi baba.
@
@shauriernest79346 years agoAsante sana mh wetu mpendwa baada ya miaka mingi ya viongozi swenye uzalendo wa kweli kama nkuruma ghana, lumumba drc moses mashely musumb iji nelson mandela sa baba yetu wa taifa hili jk nyerere sasa ni mh jpm. 1
@
@flowinkilangira15456 years agoHuku ndege linatua huku mnyama anapiga mtu piga keleleee. 7
@
@lulushambazuri48616 years agoMnao dislike ole wenu mkaipande maana kwakutaa hamjambo ila kupanda kimyakimya wa kwanza. 2
@
@chusseboywcb28086 years agoOgera selekali ya mangu uko vizuri sanaa nakupenda kula yangu hata usipige kampeni. 1
@
@shammoha52976 years agoAir tanzania oyee! Magufuli oyee! Ccm oyeee! Mungu ibariki tz n watu wake. Ameen yaa rabbil allamiin.
@
@anuaryally61776 years agoRais mchapakazi kwa vitendo akuja kuwavesha kanga na vitenge amekuja kuleta maendeleo ya watanzania. 10
@
@husnajohn74666 years agoHata misri waliteseka miaka 40 lakini musa aliwapeleka ka an japo musa hakufanikiwa kuvuka mto jordan, jpm ni binadamu sio mkamilifu ila anatimiza ahadi kwa vitendo. 3
@
@petermwenda11866 years agoDuh ulaya kama choon kama vip like hapa twende sawa magu baba mungu akulinde heshima kwako.
@
@emmanuelaxwesso25296 years agoNampongeza rais kwa juhudi kubwa aliyoionyesha kuifufua shirika la ndege ila tunaomba wananchi tufahamishwe mapato yanayotokana na ndege hizi zilizonunuliwa. 4
@
@MajiTakaMaji6 years agoFedha za uchaguzi wa 2020 wazipangie matumizi mengine tu. 2
@
@geraldemmanuel2106 years agoKwamtazamo wangu naona 2020 kusiwe nauchaguzi. Mh nilikukubali hata ulivyokuwa bado waziri. Magufuli oyee! 1
@
@musitafaidulusi1546 years agoThe best president in africa if am not mistaken even in the world.
@
@elizabethmalingumu55376 years agoKwan zamani magu alikuwa wapi saivi tz ingekuwa kama ulaya gonga like kama wampenda raisi wetu. 1
@
@chrisamrichards60456 years agoDaah mr president wewe ni jembee hatari sana daah najua bdo nasubiri maendeleo makubwa mwanza am waiting for your. 1
@
@flavianamwaunga13106 years agoUmejipanga rais wetu hongera sana mwaka huu wataisoma.
@
@shauriernest79346 years agoAsante baba mh jpm tunalala tunaamuka salama tunafanyakazi zetu vyema hiyo dmks ni zana ngani kwetu? Tupo kifua mbele. 1
@
@georgeburtonburton67406 years agoMungu akupe umri mrefu uendelee kutufanyia mambo mazuri mh. Rais magufuli.
@
@gggjjahhhh94196 years agoRaisi wetu wapo wanaokusema vibaya wanakupondaa ila mimi nakupenda na ntarudi tena tanzania 2020 kukuchagua tena inshallah.
@
@matondomahona59896 years agoMkuu, ww mpaka kufa kwako, na asiyetaka ahame nchi, maana zpo nyingi tu. 2
@
@thomasaloyce61646 years agoNdio taifa ndo linakuwa ila ka no ushamba kupokea ndege kwa ngoma na mapambio na national media broadcast ikiwepo. Geez we need to grow up.
@
@amrikadomo83286 years agoHakika watanzania hawaamini mambo ambayo rais watu ana fanya hakika mungu aendele kumfunulia.
@
@s.simponda1386 years agoLeo ninafuraha kweli! Simba kashinda ukijumlisha na ndege! Yani mambo ni mwemele! Mwemele! 7
@
@charleschoma95556 years agoRaha sana usimamizi mzuri siku ya leo magufuri raha tanzania raha simba tanzania raha bao 3-1.
Related videos for Hii Ndio Ndege Mpya Iliyopokelewa Na Rais Magufuli Ya 1 Afrika:
may god give you a long life.
i m overseas but i break down with tears. Happy in my heart. Stand tall again proud of our motherland once again. 1
mungu ibariki tanzania. 9
i preciate my president john p magufuli oyee. 5
hatari sana daah
najua bdo nasubiri maendeleo makubwa mwanza
am waiting for your. 1