KKKT USHARIKA WA KIJITONYAMA IBADA HITIMISHO LA MAOMBI NA MFUNGO WA SIKU 40 20 Dec 2019
UJUMBE WA LEO:" START YOUR IMPOSSIBLE " " We are Called to be Architects of the Future , not it's Victims "
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
"FIKIRI KWA UPANA & ANZA KIDOGO"
"THINK BIG START SMALL"
" THUBUTU KUMIMINA"
2 Wafalme 4 : 1 - 7
2 Wafalme 4 : 1 - 7
1 Basi, mwanamke mmoja miongoni mwa wake za wana wa manabii alimlilia Elisha, akasema, Mtumishi wako mume wangu amekufa; nawe unajua ya kuwa mtumishi wako alikuwa mcha Bwana; na aliyemwia amekuja ili ajitwalie wana wangu wawili kuwa watumwa.
2 Elisha akamwambia, Nikufanyie nini? Niambie; una kitu gani nyumbani? Akasema, Mimi mjakazi wako sina kitu nyumbani, ila chupa ya mafuta.
3 Akasema, Nenda, ukatake vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usitake vichache.
4 Kisha uingie ndani, ukajifungie mlango wewe na wanao, ukavimiminie mafuta vyombo vile vyote; navyo vilivyojaa ukavitenge.
5 Basi akamwacha, akajifungia mlango yeye na wanawe; hao wakamletea vile vyombo, na yeye akamimina.
6 Ikawa, vilipokwisha kujaa vile vyombo, akamwambia mwanawe, Niletee tena chombo. Akamwambia, Hakuna tena chombo. Mafuta yakakoma.
7 Ndipo akaja akamwambia yule mtu wa Mungu. Naye akasema, Enenda ukayauze mafuta haya, uilipe deni yako; nayo yaliyosalia uyatumie wewe na watoto wako.
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Dkt. Eliona Kimaro.
Simu :+255655516053, +255754516053
YouTube : Rev. Dr. Eliona Kimaro TV
Barua Pepe: elionakimaro555@gmail.com
Category
Show more
Comments - 11
Related videos for KKKT USHARIKA WA KIJITONYAMA IBADA HITIMISHO LA MAOMBI NA MFUNGO WA SIKU 40 20 Dec 2019: