Ni mahojiano ya ana kwa ana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez ambaye ameeleza kwa kina mipango, malengo na ndoto kubwa alizonazo kuipelekea Simba 'next level' (viwango vya juu) .
Hapa anazungumza na Philip Cyprian na miongoni mwa mambo aliyoweka wazi ni kuhusu mchakato wa mabadiliko, usajili, mipango ya kufanya vizuri kimataifa pamoja na matarajio yake kuelekea mechi ya watani wa jadi, Simba vs Yanga Mei 8, 2021.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
@ckanjason76753 years agoYesa real simbaim really apreciating yo views mydear sister. Yo' so smart barbara. This is simba the next level! 1
@
@solomonmassangya81873 years agoTunakupenda ceo wetu uko vizuri unasifa zote.
@
@rehemabakali4943 years agoDada km dada maashaallah allah akusimamie ktk kila hatua yko ila umependeza na ulivyojistiri umebadilika. 4
@
@andulilemwakihabha20483 years agoNakukubali sana sister barbara wew ni mchapa kazi mtu wa kazi simba nguvu moja. 5
@
@isayastephan20263 years agoHongera sana ceo wetu mungu akupiganie. 2
@
@silivanatemu30903 years agoHongera sana madame, upo vzr sana, mungu akujaalie na pia azidi kuijalia ssc. 4
@
@waziribori22803 years agoWanasimba tumepata kiongozi mwenye weledi wa uongozi kiujumla kisoka, kibishara kwa modern ya soka ya sasa hivi big up ceo wetu wengi tunakukubali sana. 2
@
@hayramswalehe49763 years agoUmependeza mrembo uko tofaut xana, xhungi umefunga vizury xana washa moto me nakupenda sana kwakua hauna asil ya dharau. 1
@
@zumbeshauri81143 years agoNaomba mungu simba ishinde kumuheshimisha huyu dada wallah wanawake wanaweza wakiwezeshwa. 2
@
@kelvin83243 years agoThis is what i call cooln brains. All africa giant magazines should meet madam c. E. O. me: wakenya munasemaje? kenyans: madam c. E. O ni mkenya. 1
@
@tanzaniatouristsattraction16223 years agoHawa ndo watu wa kusikikiza sio. Kina lulu diva. 2
@
@rwangakugwabirakarl883 years agoTu es vraiment jolie# barbara gonzalez.
@
@abdulmalickupete90153 years agoEndelea kujistiri unapendeza na niheshima kwa kwako na simba sc. 3
@
@abbyadams86913 years agoMi ni mwananchi damu ila huyu dada namkubali kwa kweli, kichwa sana. 2
@
@ayoublupande39873 years agoUmependeza san ushungi cio wetu tunakupenda. 1
@
@davidicjunior89693 years agoHongera sana mungu akuzidishie utashi katika maisha yako na uongoz wako katika timu big up madame. 6
@
@geofreysenka70913 years agoMwashi kitoko ya simba arobi makambo ya bien toujour makambo madam gonzalez zambe pesa lupemba.
@
@azizhamed62013 years agoMashallah dada wewe mzuri na umependeza kweli ulivyo vaa hijab yaani muislam kamil badil dini basi nikuowe. 1
@
@yussuframadhan79553 years agoIlike barbra the way of talk and answer question she confident keep it up. 3
@
@annasamo70633 years agoMaswali yako ni ya kisomi wote nawaelewa kila la heri simba.
@
@mzaha3 years agoEti kuna wahuni wanasema babra sio mtu wa mpira watuache kidogo. 1
@
@petermaeja5023 years agoMtangazaji umeshindwa kuuteka wigo wote wa madam, she is so smart nahisi ungeandaa maswal mazur zaidi angetoa elimu nzuri sana. 5
@
@mussamussa9523 years agoWewe dada unapendeza sana ukiwa umevaa ushungi kuliko ukiwa wazi. Utanisamehe bure binafsi nakuona mpya sana na nakupenda kwa ajili ya allah unapokua umejistiri. ...Expand2
@
@AbdillahSOthman3 years agoMwanamke ni stara, lau wangejua kuwa uzuri wa mwanamke ni kujifunika asionekane mwili wake na thamani yake ilivyo basi wanawake wangelikataa kujiachia na kuonekana na kila mtu.
@
@saidsalum61013 years agoBarbra nimependa sana majibu yako dada yameenda shule siyo wakukurupuka hasa ulivyo malizia kwawatani upo vizuli sana mama. 3
@
@mussamussa9523 years agoWewe dada unapendeza sana ukiwa umevaa ushungi kuliko ukiwa wazi. Utanisamehe bure binafsi nakuona mpya sana na nakupenda kwa ajili ya allah unapokua umejistiri. ...Expand2
Related videos for 1ON1 na Barbara Gonzalez | Mipango, mikakati, malengo na ndoto kubwa za Simba SC (Exclusive):
me: wakenya munasemaje?
kenyans: madam c. E. O ni mkenya. 1