Dont Forget To Subscribe This Channel .........
Video Shoot By Extra Pictures Under Zanzibar Qaswida
Contacts : +255626966000 | zanzibarqaswida@gmail.com
Zanzibar Qaswida Booking Info :
WhatsApp/Call : +255626966000
Email : zanzibarqaswida@gmail.com
Catch Up With Zanzibar Qaswida (Owner)
https://www.instagram.com/comextz/https://www.facebook.com/comexstarhttps://twitter.com/ComexTz
Category
Show more
Comments - 126
@
@firdhoushassan11363 years agoMarshall allah, may allah continue to guide you guys on the straight path. 1
@
@shamimujumanne52674 years agoUislamu sasahv sijui kwann hauna nguvu kama zamani, kwakweli dini yetu inaelekea pabaya m/mungu tunusuru na haya subhanallah. 18
@
@halimarahay88512 years agoManshaalah mungu akuzidishiye kaka zangu.
@
@teacherney66514 years agoHao arrijalu qawwaamuun subhanallah rudini kwa allah ndugu zangu. 3
@
@saidkipaji62854 years agoUyo alojishika kiuno kashakuwa saivi alikuwa akisoma muntakina hukuwa ivoo weww. 3
@
@nooraallahuakibarumwenyeez30794 years agoYani ukistaajabu ya musa utaona ya friaun jamani ulimi hauna mfupa nimecheka kwa vitukovyenu mapenzi ni uwendawazimu ila tujitahidini kumuogopa allah tusiutukanishe uwiislam wetu. 3
@
@kadijajaseem51484 years agoNimemunga mkono wiislam anaelekea pabaya mungu ayarudishe nyuma mwashangaza waislam wenzenu. 3
@
@munamuna74883 years agoMhhh kaswida mhhh walah atuepushe na ibilisi. 1
@
@muniraomar37044 years agoHapa mwisho dawa ni umpate umpendae ndiyo dawa yke hakuna daktari wala mganga hapo. 3
@
@saidseleman60043 years agoKwahiyo siku hzi tarabu imekuwa ruksa ktk dini. 2
@
@zulfatdidas3694 years agoAllah awaongoze kwakwel co kwa mixer hyo. 4
@
@nasmamaulidy5012 years agoMashaallah allah awape umri mrefu muendelee hivohivo ndugu zangu.
@
@idrisabakar88623 years agoTafuteni kazi wana ume wazima mna kata viuno je hao ndgu zenu wafanye nn duu hatar sna. 3
@
@trackingboss7109last yearPlease let us a little more information about your company lucas and senzo is saying they closed the.
@
@mudathirylove32804 years agoMbn hawasemi kweny mziki wa bongo fleva wanaona hapo2 wanafki hao, wanaswahibu mpo vzr sana mashallah tupe dawa. 2
@
@mohamedmussa52002 years agoHii kazi ya shetani aliyevaa vazi la uislam ili kuwahadaa waislam. Kwanza ni mziki, halafu mbaya zaidi wanawake wananengua mbele ya wanaume na wameridhika. ...Expand
@
@yurathawamb1294 years agoHaya hayapo ktk uislam ni matamanio yetu tu tamaa za kunipenda dunia zimetushika allah atunusuru na mengineyo. 6
@
@rashidilimboa75343 years agoNimepnda kazi zenu ndgu zangu nazipataje cd nawapi zinapatikana.
@
@noelariki36184 years agoMnauharibu uislam, wanaume mnacheza hivyo pia mnachangamana na wanawake kweli ndo uislam gani huo. 7
@
@ahmadabdalla6194 years agoSubhanallh hakuna hishma ya kanzu hapo. 2
@
@rashidhaji83253 years agoHaina utofauti na tarabu na bongofleva.
@
@mudathirylove32804 years agoWatu wanawivu wa maendeleo2 wanaswahibu mpo vzr hao wanaoponda wanajifanya wanajua sana dini. 2
@
@munamuna74883 years agoVigodoro vya akili kwa akili mtihani mmhhh wanaume ndani ya mauno mhhh mtihani yrabi tuepushe. 2
@
@nooraallahuakibarumwenyeez30794 years agoDawa ya mahaba nikumpata mahabubi hhh. 1
@
@princessafrash87574 years agoSijaona tofauti ya mziki, taarabu, na hizi qaswda za sikuhizi jamani mtume ameapa vikali juu ya kila bidaa hakika kila bidaa ndogo na kubwa mwisho wke. ...Expand4
@
@keyhassan20504 years agoNimoto wa kuakiaa burdani kwakweli cheka pekeangu hongereni kwa kazi nzurii. 1
@
@mohamedmussa52002 years agoWaislam tulikofikia sio pazuri. Hivi hawa hawajui kuwa wanafanya makosa kupiga mziki? Mbaya zaidi wanawake wananengua mbele yao na wanawake wamejiachia!. ...Expand
@
@tamemahmad99024 years agoHii qasda au nyimbo jamani maulid tunayaharibu. 4
@
@safiambaroukkhamis4394 years agoMupo pemba au unguja jamani naomba mimi.
@
@sleyumomar36373 years agoMnapatikana wapi, unguja au pemba, naomba mnijibu.
@
@yasirfakih33654 years agoAsant kikongoz wangu abuu wewe fund by honest. 1
@
@saidbinbakar97254 years agoWana swahibu kitu kimoja niwashauri. Mitindo yenu ya uvaaji kofia mkaziachia bila kukunja baadhi yenu inaleta maana nyengine kwa sababu kila kitu kina. ...Expand
@
@mohamedmussa52002 years agoHii kazi ya shetani aliyevaa vazi la uislam ili kuwahadaa waislam. Kwanza ni mziki, halafu mbaya zaidi wanawake wananengua mbele ya wanaume na wameridhika. ...Expand
@
@princessafrash87574 years agoSijaona tofauti ya mziki, taarabu, na hizi qaswda za sikuhizi jamani mtume ameapa vikali juu ya kila bidaa hakika kila bidaa ndogo na kubwa mwisho wke. ...Expand4
@
@mohamedmussa52002 years agoWaislam tulikofikia sio pazuri. Hivi hawa hawajui kuwa wanafanya makosa kupiga mziki? Mbaya zaidi wanawake wananengua mbele yao na wanawake wamejiachia!. ...Expand
@
@saidbinbakar97254 years agoWana swahibu kitu kimoja niwashauri. Mitindo yenu ya uvaaji kofia mkaziachia bila kukunja baadhi yenu inaleta maana nyengine kwa sababu kila kitu kina. ...Expand
Related videos for WANA SWAHIBU NI HATARI SANA | DAKTARI NIPE DAWA KAMA KUNA MGANGA WA KUTIBU MARADHI HAYA NAUMWA:
burdani kwakweli
cheka pekeangu
hongereni kwa kazi nzurii. 1